Habari za Punde

DK. SHEIN ALIHUTUBIA BARAZA LA WAWAKILISHI LEO

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akitoa Hutuba mbele ya Baraza la Wawakilishi
Kutoka kulia ni Jaji Mkuu Hamid Mahmoud, Makamo wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad na Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho

 Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakisikiliza hutuba ya Dk Shein
 WAKE wa Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakisikiliza hutuba ya Rais wa ZANZIBAR na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein

 MABALOZI wanaowakilisha Nchi zao Walioko Zanzibar wakihudhuria uzinduzi wa Kikao cha Nane cha Baraza la Wawakilishi kikizinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

                                 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.