Habari za Punde

INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN - BAKARI ABEID BAKARI HATUNAYE TENA

WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakisoma duwa baada ya kuusalia mwili wa marehemu Bakari Abeid  ulisaliwa katika Msikiti Lutta Kiembesamaki
 WANANCHI wakibeba jeneza la mwili wa marehemu Bakari Abeid baada ya kusaliwa katika msikiti Lutta Kiembesamaki.
BAADHI ya Viongozi wa Serikali waliohudhuria mazishi ya Msanii Mkongwe wa Zanzibar, Bakari Abeid Bakari wakishuhudia maziko yake katika makaburi ya Mwanakwerekwe.


WANANCHI waliohudhuria mazishi ya marehemu Bakari Abeid  katika makaburi ya Mwanakwerekwe. 
MTOTO wa Marehemu Bakari Abeid Bakari, Abeid Bakari akisoma duwa na ndugu na jamaa baada ya kumaliza mazishi yaliofanyika  katika makaburi ya Mwakwerekwe..  

MSANII Hassan Suleiman "Chita"  akizungumza na mwandishi wa Redio Zanzibar, Suleiman Juma Kimea baada ya kumalizika maziko ya Marehemu Bakari Abeid Msanii mkongwe Zanzibar.

 
MSANII Mkongwe wa utunzi wa Mashairi Zanzibar Haji Gora akizungumza na mwandishi wa Redio Zanzibar, Suleiman Juma Kimea  baada ya kumalizika  maziko ya Marehemu Bakari Abeid Msanii mkongwe Zanzibar.  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.