Ukumbi wa Nkrumah ulivyofurika kumsikiliza Dr Bilal Philips ambapo washiriki wa kike na kiume kutoka dini zote walialikwa.
Akinamama wakiwa katika sehemu waliyotengewa wakiendelea kusikiliza Muhadhara
Tarehe 24 -12 -2010 alikuwepo Chuo Kishiriki cha Elimu Chukwani Zanzibar na kutoa mada “Common Misunderstandings about Islam and Muslims”
Tarehe 20-12-2010 alikuwepo Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro na alitoa Mada “Role of Muslim Universities in a Competitive World”
Huu ndio Muhaadhara wa kwanza uliofanyika 18-12-2010 Chuo Kikuu Dar kwenye Ukumbi wa Nkrumah na Mada ilikuwa "Common Misunderstandings about Islam and Muslims”
Kwa taarifa kamili ingia katika kiungo hapa chini
http://islamiconlineuniversity.com/news-detail.php?newsid=12
TANESCO Ruvuma Yatoa Elimu kwa Wananchi Kuhusu Matumizi sahihi ya Umeme na
Nishati Safi ya kupikia.
-
Mbinga, Ruvuma
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Ruvuma limetoa elimu kwa wananchi
wa Kijiji cha Linda kuhusu matumizi salama ya umeme, ulinzi w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment