MDAU mambo ya msosi wa mikate ya kizenj maarufu kwa jina la bofulo wazee wakijipatia kwa mlo wa Asubuhi, mkate mmoja huzwa shillingi 300/= katika maeneo ya darajani kama mwanablog alivyoinasa picha hii leo mchana.
TUME YA RAIS YA MABORESHO YA KODI YAKUTANA NA TRA
-
Tume ya Rais ya kukusanya maboresho ya Kodi ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti
wa Tume hiyo Balozi Maimuna Tarishi leo tarehe 16.05.2025 imekutana na
kufany...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment