MAFUNDI wa Shirika la Bandari Zanzibar wakiujenga Ukuta wa Forodhani unaozuwia mawimbi ya bahari kupiga katika barabara hiyo, ukuta huo umebomolewa na Mawimbi ya bahari yaliyosababishwa na mzaruba uliovuma hivi karibuni na kuleta ajali hiyo.ya kuharibu ukuta huo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Aelekea Dodoma
kwa Treni ya SGR Kushiriki Zoezi la Kuboresha Taarifa katika Daftari la
Kudumila Mpiga Kura
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisafiri kwa treni ya SGR kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma ambapo pamoja
na maj...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment