MAFUNDI wa Shirika la Bandari Zanzibar wakiujenga Ukuta wa Forodhani unaozuwia mawimbi ya bahari kupiga katika barabara hiyo, ukuta huo umebomolewa na Mawimbi ya bahari yaliyosababishwa na mzaruba uliovuma hivi karibuni na kuleta ajali hiyo.ya kuharibu ukuta huo.
Mkutano wa TISA wa Wakuu wa Nchi na Serikali TICAD Wahitimishwa Jijini
Yokohama
-
Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu
Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development)
umehi...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment