Habari za Punde

WANAWAKE WAKIWEZESHWA WANAWEZA.

HIVI ndivyo ilivyo kwa Kinamama hawa wakiwa bizzi na shughuli zao za kila siku za kuchora na kufuma vitambaa vya aina mbalimbali  dukani hapo, ikiwa ni kivutio cha Watalii wanaotembelea Mji Mkongwe wa Zanzibar, hutembelea duka hili la SASIK lilioko Gizenga Forodhani.  
Hichi kiingilishi wewe acha tu - ujumbe umefika
MMOJA wa Mwanamama  Aida Abdalla akiwa kazini akichora moja ya dizaini ya mauwa katika kitambaa cha Batiki, akiwa katika duka lao Mtaa wa Gizenga Unguja.  
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.