Wauza magazeti katika mitaa ya Zanzibar wakigaiwa magazeti na Wakala wa Usambazaji magazeti baada ya kuyapokea bandari Zanzibar na kuyasambaza kwa wauzaji, wakiwa nje ya Bandari ya Forodhani.
SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA KISWAHILI KUTOLEWA AGOSTI
-
TOLEO la Sheria ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili zinatarajiwa
kuanza kutoka ifikapo Agosti mwaka huu ikiwa baada ya hivi karibuni Rais
Samia Sul...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment