Wananchi wakigombea daladala ya njia ya Mshelishelini, katika kituo kikuu cha Darajani jana, njia hiyo ina gari chache na kulazimiwa wananchi wa eneo hilo kuwa na usafiri wa shida na wa kugombea wakati wa asubuhi na kurudi kazini Mchana.(Picha na Ali Othman )
TRA YAZINDUA DAWATI LA KUWEZESHA BIASHARA NCHINI JIJINI ARUSHA
-
Na. VERO IGNATUS ARUSHA.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi dawati maalum la kuwezesha
biashara nchini (Trade Facilitation Desk) litakalokuw...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment