Wananchi wakigombea daladala ya njia ya Mshelishelini, katika kituo kikuu cha Darajani jana, njia hiyo ina gari chache na kulazimiwa wananchi wa eneo hilo kuwa na usafiri wa shida na wa kugombea wakati wa asubuhi na kurudi kazini Mchana.(Picha na Ali Othman )
MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AWAPA TABASAMU WAKULIMA WA MAHINDI RUKWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Rukwa
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha
Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan amewaa...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment