Kwa Habari, Picha na Matukio Tembelea ZanziNews
Tangaza nasi kwa bei nafuu (advertise with us ). Tupigie 0777 424152 au tuandikie (email) othmanmaulid@gmail.com
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akibadilishana mawazo na Mwenyekiti mstaafu wa Chama hicho Bwana Msobi Magene alipokwenda kumtembelea na kumjuilia hali nyumbani kwake Mwanza hivi karibuni.
Kwakweli, migogoro wakati mwengine inasaidia, si unaona, maalim anafanya ziara kila pembe ya nchi pamoja na kuwatembelea baadhi ya viongozi na wanachama wakongwe wa CUF.
Sasa kama wanayolalamikia wenzake ameyaona na kuyafanyia kazi, huo ndio uungwana, ugomvi tena uko wapi?..Akimaliza musobi amtembelee na yule mzee wa ndijani..khalass!
VISION VIKOBA WAADHIMISHA MIAKA 10 YA MAFANIKIO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KIKUNDI cha Vision Vikoba ambacho ni kikundi mama cha vikundi 13)
kimeadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, ambapo msh...
Kwakweli, migogoro wakati mwengine inasaidia, si unaona, maalim anafanya ziara kila pembe ya nchi pamoja na kuwatembelea baadhi ya viongozi na wanachama wakongwe wa CUF.
ReplyDeleteSasa kama wanayolalamikia wenzake ameyaona na kuyafanyia kazi, huo ndio uungwana, ugomvi tena uko wapi?..Akimaliza musobi amtembelee na yule mzee wa ndijani..khalass!