Mdau unaijuwa saa hii iko wapi na mahali gani katika Zenj........... Kazi kwako.
Naona wengi wamejaribu kuaguwa ilipo Saa hii na wengi wao wamedhani saa hii iko Mahakama Kuu na baadhi wamefikiria iko Shangani Posta.
Kwa bahati nzuri au mbaya majibu yote haya ni ajwar si sahihi.
Saa hii ipo Uwanja wa Ndege wa Zamani baada ya Kufanyiwa ukarabati mkubwa.
Shukran kwa Kujaribu
Naona wengi wamejaribu kuaguwa ilipo Saa hii na wengi wao wamedhani saa hii iko Mahakama Kuu na baadhi wamefikiria iko Shangani Posta.
Kwa bahati nzuri au mbaya majibu yote haya ni ajwar si sahihi.
Saa hii ipo Uwanja wa Ndege wa Zamani baada ya Kufanyiwa ukarabati mkubwa.
Shukran kwa Kujaribu
Hii ni mahakamaniau vipi? Lakini nakumbuka saa ya mahakamani haikuwa hivi. Kwahiyo ama nimechemsha au hii saa imebadilishwa na kuwekwa nyengine.
ReplyDeleteMdau
USA
Mahakamani. Vuga.
ReplyDeletesiujui ipo mahali gani bali sio mahakama ya vuga.
ReplyDeleteMahakama ya vuga sikumbuki kuwa na 'chiping'
may be posta kuu shangani
ReplyDeleteHii ipo mahakama kuu Vuga just imefanyiwa marekebisho tu huo mjengo uliochoka haujabadilika hahaha home sweet home
ReplyDeletePost office ya Shangani
ReplyDeleteHii saa ipo Mahakma ya Vuga Zanzibar
ReplyDeleteCHA ajabu ukii zoom hii picha chini kabisa katika mapambo yake kuna STAR OF DAVID.
Je sisi Zanzibar tuna au tulikuwa na uhusiano gani na Mayahudi hata ikawa mapsmbo mengi yana alama hizo?
Mfano mwengine ni pale People's Palace Forodhani juu kabisa kuna alama kama hiyo