Habari za Punde

Uimarishaji Bustani za Barabara Michenzani.

Wafanyakazi wa Baraza la Manispaa Zanzibar wakipanda mau katika eneo la Michenzani, ili kuimarisha bustani za barabara hiyo na kuweka katika hali ya usafi wa mazingira ya mji wa Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.