Wanafunzi wa Skuli ya Bububu wakitembea kurudi nyumba baada ya kumaliza masomo yao, inabidi kutumia usafiri huo kwa kukataliwa kupanda gari za daladala kwa kuwa nauli zao ndogo zilizowekwa na Serikali mwanafunzi anastahili kulipa shilingi 200/= na abiria wa kawaida hulipa shilingi 300/= inabidi kutumia usafiri huo wa kurudi nyumbani baada ya masomo yao.
KWA SASA NYAMA CHOMA NI VINGUNGUTI KWA KUMBILAMOTO TU…NJOO TUINJOI MTU WANGU
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
Ni mwendo wa nyamachoma tu! Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea yanayoendelea
katika soko la nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment