Wanafunzi wa Skuli ya Bububu wakitembea kurudi nyumba baada ya kumaliza masomo yao, inabidi kutumia usafiri huo kwa kukataliwa kupanda gari za daladala kwa kuwa nauli zao ndogo zilizowekwa na Serikali mwanafunzi anastahili kulipa shilingi 200/= na abiria wa kawaida hulipa shilingi 300/= inabidi kutumia usafiri huo wa kurudi nyumbani baada ya masomo yao.
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment