Wanafunzi wa Skuli ya Bububu wakitembea kurudi nyumba baada ya kumaliza masomo yao, inabidi kutumia usafiri huo kwa kukataliwa kupanda gari za daladala kwa kuwa nauli zao ndogo zilizowekwa na Serikali mwanafunzi anastahili kulipa shilingi 200/= na abiria wa kawaida hulipa shilingi 300/= inabidi kutumia usafiri huo wa kurudi nyumbani baada ya masomo yao.
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment