Wanafunzi wa Skuli ya Bububu wakitembea kurudi nyumba baada ya kumaliza masomo yao, inabidi kutumia usafiri huo kwa kukataliwa kupanda gari za daladala kwa kuwa nauli zao ndogo zilizowekwa na Serikali mwanafunzi anastahili kulipa shilingi 200/= na abiria wa kawaida hulipa shilingi 300/= inabidi kutumia usafiri huo wa kurudi nyumbani baada ya masomo yao.
RC CHALAMILA ATANGAZA KUSIMAMA KWA HUDUMA YA MABASI YA MWENDAKASI MBAGALA
NA KIMARA
-
Na Humphrey Shao, Michuzi tv
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametangaza kuwa kwa sasa
huduma ya Mabasi ya Mwendokasi katika barabara ya Mo...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment