Habari za Punde

Watoto Wanaosumbuliwa na Moyo Safarini India Matibabuni.

Ndege ya Oman Air ikiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume ambayo hufanya safari zake Zanzibar.  
Wazazi wa Watoto 12 wanaokwenda  Nchi India kwa Matibabu ya Moyo, wakiwa katika chumba  cha mapumziko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakisubiri  kuingia katika ndege ya Oman Air kwa safari hiyo jumla ya Watoto 35, wameshasafirisha na hili ni kundi la mwisho kutimiza idadi hiyo, kundi la kwanza lilikuwa na watoto 10 na la pili lilikuwa na watoto 13  kati ya hao wnaoondoka.   
Wazazi wa Watoto wakiwa na watoto wao wakijitayarisha kuingia katika ndege ya Oman Air Zanzibar kuaza safari ya kwenda India kupata matibabu ya Moyo. Mungu awape afya njema na wafanikiwe na matatizo yao warejee salama na kuungana na familia zao na marafiki zao nyumbani.  
Wadau wakilikwea pipa kwenda Nchi India kupata matibabu  ya moyo kwa baraq za Mwenyenzi Mungu awapeleke Salama na wafanikiwe na tiba hiyo inayowapeleka huko, waondokane na maradhi hayo. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.