Habari za Punde

Maalim Seif Atembelea Tume ya Kukusanya na Kuratibu Maoni ya Wananchi Juu ya Katiba


Mwenyekiti wa Tume ya marekebisho ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad juu ya hatua waliyofikia katika maandalizi ya kukusanya na kuratibu maoni ya wananchi juu ya katiba, wakati Maalim Seif alipotembelea ofisi za tume hiyo jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Tume ya marekebisho ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad juu ya hatua waliyofikia katika maandalizi ya kukusanya na kuratibu maoni ya wananchi juu ya katiba, wakati Maalim Seif alipotembelea ofisi za tume hiyo jijini Dar es Salaam tarehe 11/05/2012. Kushoto ni Waziri wa Katiba na Sheria Tanzania, Mathias Chikawe.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na wajumbe wa tume ya marekebisho ya katiba Tanzania wakati alipotembelea ofisi za Tume hiyo jiji Dar Es Salaa tarehe 11/05/2012. Kushoto ni Waziri wa Katiba na Sheria Tanzania, Mathias Chikawe. Wengine kutoka kulia ni katibu wa tume hiyo Assaa Ahmed Rashid na Mwenyekiti jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na wajumbe wa tume ya marekebisho ya katiba Tanzania wakati alipotembelea ofisi za Tume hiyo jiji Dar Es Salaam tarehe 11/05/2012. Pamoja nae ni Mwenyekiti wa tume hiyo jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiagana na Waziri wa Katiba na Sheria Tanzania Mathias Chikawe wakati alipotembelea ofisi za tume ya marekebisho ya katiba tarehe 11/05/2012. Kulia ni Mwenyekiti wa tume hiyo ni Mwenyekiti wa tume hiyo jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba. (Picha, Salmin Said, OMKR).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.