AFISA Uhusiano wa PPF Anthony Mtaka (kushoto) akimkabidhi seti za jezi, Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Pereira Ame Silima, kwa ajili ya timu za jimbo lake ili kudumisha michezo kwa Vijana wa jimbo hilo, wakati wa mchezo wa Fainal wa Kombe la Mbunge, makabidhiano hayo yamefanyika katika uwanja wa mpira wa Avyenja Chumbuni.
REA YAPONGEZWA KWA KASI YA UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VITONGOJINI
-
Wananchi wa vitongoji vya Chilimba na Mnayope Kata ya Mnyambe Wilaya ya
Newala Mkoani Mtwara wamepongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya kusambaza
umeme v...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment