Habari za Punde

Shangani FC Bingwa Central Wilaya ya Mjini.

KATIBU wa Kamati ya Central Taifa Abdullah Thabit (kulia), akikabidhi kikombe cha ubingwa wa Ligi ya Central Wilaya ya Mjini kwa nahodha wa timu ya Shangani FC iliyofanikiwa kutwaa ubingwa huo kwa kuifunga New Generation mabao 2-0 mwishOni mwa wiki kwenye uwanja wa Mao Dzedong. (Picha kwa hisani ya Kamati ya Central Mjini).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.