Naibu katibu Mkuu Ofisi ya makamu wa Rais Eng. Ngosi Mwihava akiangalia ndege katika banda la Chuo cha Uhifadhi na Usimamizi Wanyama Pori Mwika alipotembelea banda hilo,wakati wa maonyesho ya wiki ya mazingira mkoani Kililimanajaro.(Picha na Ali meja)
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais.Mhe. Charles Kitwanga akipata maelezo kutoka kwa Bi Arafa Maggid Mhandisi Mazingira Bonde la Pangangi kuhusu Vifaa vya Kupimia Ubora wa Maji,alipotembelea banda la hilo katika maonyesho ya Wiki ya Mazingira Mkoani Kilimanjaro.(Picha na Ali meja Ofisi ya makamu wa rais)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein
Mwinyi Amewaaga Mahujaji Wataeaji wa Zanzibar Masjid Jamiu Zinjibar leo
17-5-2025
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali
Mwinyi akisalimiana na Katibu Mtendaji Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana
Za...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment