Maji yakiruka wakati wa mchana. Kuna Mdau aliwahi kuhoji iweje haya yaruke wakati kwenye majumba hayatoki?
Maji yakiruka wakati wa usiku. Enzi hizo yalikuwa yakiitwa maji ya dhahabu. Yamerudishwa tena baada ya miaka kadhaa kupita.
Je picha hii imechukuliwa kutoka Jumba No Ngapi na Mpiga picha alikuwa ghorofa ya ngapi??
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
7 hours ago
No 3 na alikuwa juu varanda
ReplyDelete