Maji yakiruka wakati wa mchana. Kuna Mdau aliwahi kuhoji iweje haya yaruke wakati kwenye majumba hayatoki?
Maji yakiruka wakati wa usiku. Enzi hizo yalikuwa yakiitwa maji ya dhahabu. Yamerudishwa tena baada ya miaka kadhaa kupita.
Je picha hii imechukuliwa kutoka Jumba No Ngapi na Mpiga picha alikuwa ghorofa ya ngapi??
PANGANI WAPONGEZWA KWA KUSHIRIKI VYEMA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele leo Mei 21, 2025 ametembelea na kukagua mwenendo wa zoezi la
uboresha...
41 minutes ago
No 3 na alikuwa juu varanda
ReplyDelete