Kwa niaba ya wana-Diaspora wote nchini
Canada, Kamati Tendaji ya Zanzibar – Canadian Diaspora
Association
(ZACADIA)
inachukuwa fursa hii kutoa salamu za hongera kwa Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi na Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein kwa agizo alilolitoa la
kununuliwa meli kubwa mpya ya abiria wapatao 1000 na yenye uwezo wa kuchukua
mizigo ya tani 100 ambayo itawaondoshea shida na usumbufu wa usafiri wa
baharini wananchi wanaosafiri kati ya Unguja, Pemba na Tanzania Bara.
KESI YA LISSU YAAHIRISHWA HADI KIKAO KINGINE
-
MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeahirisha kesi ya Mwenyekiti wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hadi itakapopangiwa kikao
kingine (s...
8 hours ago


No comments:
Post a Comment