Mwenyekiti wa Kamati ya ujenzi wa Uwanja unatarajiwa kuwa wa Kimataifa wa Bweleo Bwana Hassan Gharib akimpatia ufafanuzi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kuhusiana na changamoto wanazoipambana nazo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifurahia bidhaa zilizotengenezwa na Kikundi cha Ushirika cha Ukweli ni njia safi wa Kijiji cha Bweleo iliyomshawishi kununua baadhi ya bidhaa hizo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Alio Iddi akiangalia majengo ya skuli ya Bwefum ambayo Mapaa yake yako katika hali mbaya. Kulia yake ni Mwalimu Mkuu wa Skuli hiyo bwana Kesi Mwinyi Shomari
No comments:
Post a Comment