MCHEZAJI wa timu ya Chuoni Shaban Moka akimpita beki wa timu ya Kmkm Makame Nuhu, katika mchezo wa ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan, timu hizo zimetoka sare ya 2--2.
WACHEZAJI wa timu ya Chuoni wakishangilia goli lao la pili katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan.
GOLIKIPA wa timu ya KMKM akiokoa moja ya hatari golini kwake wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu hizo zimetoka sare ya 2--2
MSHAMBULIAJI wa timu ya Chuoni akiambaa na mpira huku beki wa timu ya KMKM, akijaribu kumzuiya wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar.
BEKI wa timu ya KMKM, akimiliki mpira huku mshambuliaji wa timu ya Chuoni akijaribu kumzuiya
WACHEZAJI wa timu ya Chuoni wakimzonga muamuzi wa mchezo huo kwa uchezeshaji wake kupendelea upande mmoja.
BASHUNGWA APIGA KAMBI LINDI, KUHAKIKISHA BARABARA YA DAR - LINDI INAPITIKA
NDANI YA SAA 72.
-
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu na kuwahakikishia
wananchi, wasafiri na wasafirishaji kuwa ameweka kambi Mkoa wa Lindi
kuhakikisha an...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment