Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na wanachama na wapenzi wa Chama hicho katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Magirisi Melinne, jimbo la Mwanakwerekwe.
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na wanachama na wapenzi wa Chama hicho katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Magirisi Melinne, jimbo la Mwanakwerekwe.
Wafuasi na wapenzi wa CUF wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Magirisi Melinne, jimbo la Mwanakwerekwe
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akikabidhi kadi kwa wanachama wapya walioamua kujiunga na Chama hicho huko viwanja vya Magirisi Melinne, jimbo la Mwanakwerekwe
Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Hamad Massoud Hamad akizungumza na wanachama na wapenzi wa Chama hicho katika mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Magirisi Melinne, jimbo la Mwanakwerekwe. (Picha na Salmin Said, OMKR)
DKT. ALLY SIMBA APITISHWA KUWANIA UBUNGE CCM MOROGORO MJINI
-
Na Mwandishi Wetu
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa
imelipendekeza jina la Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Mawasiliano Afrika...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment