Vijana wakiwa katika mchezo wa kurusha Pikipiki maarufu katika mji wa zanzibar vijana hawa kuonesha manjonjo yao katika barabara za mjini maeneo ya michezani, na wiki end huonesha show hiyo katika maeneo ya shamba kama alivyotuletea mdau wetu Osama picha hizo alipokuwa katika matembezi yake huko. Huyu Kijana ni mlemavu wa miguu ane akionesha manjonjo yake akiwa na pikipiki ya maringi manne
WAHITIMU MAFUNZO YA MFUMO STAKABADHI GHALA WATAKIWA KUONGEZA UWAZI NA UBORA
KATIKA UTENDAJI KAZI WAO
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi
wa Stakabadhi za Ghala,Godwin Mkanwa,akikabidhi Cheti Mhitimu wa mafunzo ya
...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment