Habari za Punde

Soko la Jumapili lazinduliwa Pemba

BAADHI YA WANANWAKE WALIOFIKA KATIKA SOKO HILO WAKIVUTIKA NA BIASHARA ZINAZOTENGENEZWEA NA WANAWAKE WENZAO KAMA WANAVYOONEKANA KATIKA PICHA
Baadhi ya akinamama waliofika katika soko la Jumapili wakionesha kuvutiwa na mikoba na makawa bidhaa zinazotengenezwa na akinamama wenzao kama wanvyoonekana katika picha.


HILI KAWA NI ZURI LINAFAA KWA NYUMBANI KWANGU, KUFUNIKIA CHAKULA, SIJUWI NILINUNUWE, PICHA INAJIELEZA WAKATI MKUU WA MKOA WA KUSINI PEMBA JUMA KASSIM TINDWA AKIANGALIA KAWA HILO

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe Juma Kassim Tindwa akionesha kupendezwa kupendezwa na Kawa ambalo lilikuwa limenjari kwenye Soko la Jumapili likisubiri mteja

waziri wa biashara viwanda na masoko MAZRUI AKIJIPEPEA BAADA YA KUZINDUA SOKO LA JUMAPILI KISIWANI PEMBA, AMBAPO KESHO SOKO HILO LITAHAMIS AKATIKA VIWANJA VYA TENIS, CHAKE CHAKE

Waziri wa Biashara , viwanda na masoko Mhe Mazrui akijipepea baada ya kuzinfua soko la Jumapili kisiwani Pemba ambapo kesho litakuwepo kwenye viwanja vya Tennis Chake chake

Picha zote na Abdul Suleiman, Pemba
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.