Habari za Punde

Maalim Seif mgeni rasmi maulidi ya Mtume, Madrasatu Tahfidhil Qur'aan Mombasa

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wanafunzi wa Al- Madrasat Tahfidhil-Qur'aan ya Mombasa Zanzibar.
Wanafunzi wa madrasat Tahfidhil- Qur'aan Mombasa wakiitikia maulid katika hafla ya maulid ya chuo hicho yaliyohudhuriwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad. (Picha na Salmin Said, OMKR)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.