Habari za Punde

Ziara ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Pemba


Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Said Ali Mbarouk, akikaguwa uwanja wa michezo Gombani , Pemba
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Said Ali Mbarouk, akikaguwa baadhi ya magofu ya mkamandume pujini , alipkuwa na ziara ya kikazi ya wizara yake mpya ziara kama hizi kwa viongozi wakuu wa serikali katika taasisi wanazoziongoza zinachochoa uwajibikaji kwa watendaji.
 
Picha zote na Bakari Mussa, Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.