
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Said Ali Mbarouk, akikaguwa uwanja wa michezo Gombani , Pemba
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Said Ali Mbarouk, akikaguwa baadhi ya magofu ya mkamandume pujini , alipkuwa na ziara ya kikazi ya wizara yake mpya ziara kama hizi kwa viongozi wakuu wa serikali katika taasisi wanazoziongoza zinachochoa uwajibikaji kwa watendaji.
Picha zote na Bakari Mussa, Pemba
No comments:
Post a Comment