Habari za Punde

Washindi wa Wiki ya Pili wa 'Kwangua na Ushinde' watangazwa

 
Mkurugenzi wa Biashara wa Zantel, Zanzibar-Mohamed Mussa akiwa na pikipiki aliyomkabidhi mshindi wa wiki ya pili ya promosheni ya 'Kwangua na Ushinde' Bi Khadija Ali Haji mkazi wa Donge.


 
Mkurugenzi wa Biashara wa Zantel, Zanzibar-Mohamed Mussa akikabidhi  Bwana Hussein Mtumwa Hussein zawadi yake ya modemu ya 3G aliyoshinda katika promosheni ya ‘Kwangua na Ushinde’.


Mkurugenzi wa Biashara wa Zantel, Zanzibar-Mohamed Mussa akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa wiki ya pili ya promosheni ya ‘Kwangua na Ushinde’ inayoendelea kwa wateja wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.