Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akipokea rasimu ya katiba ya Tanzania kutoka kwa Makamu wa Rais Tanzania Dr. Mohd Gharib Bilal, mara baada ya kuzinduliwa kwa rasimu hiyo katika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbali mbali, maara baada ya kuzinduliwa kwa rasimu ya katiba katika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Naibu katibu Mkuu wa CUF (Tanzania Bara) Julius Mtatiro, mara baada ya kuzinduliwa kwa rasimu ya katiba katika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akibadilishana mawazo na Makamu wa Rais Tanzania Dr. Mohd Gharib Bilal, maara baada ya kuzinduliwa kwa rasimu ya katiba katika viwanja vya Karimjee Dar es Salaam. (picha na Salmin Said, OMKR).
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- VISA INTERNATIONAL YAZINDUA TAWI TANZANIANa Mwandishi wetu 16.07.2025DAR ES SALAAM
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Mtaalamu wa lugha ya Alama Masika Khamis Ali akitoma maelezo kwa Wananchi wa makundi maalumu wakati wa ufungaji wa Mkutano wa Kampeni wa Cha...
-
Dar es Salaam. 28-10-2025 Tanzania Bloggers Network (TBN) inatoa pongezi za dhati kwa Watanzania wote, wagombea, vyama vya siasa, Tume Huru ...
-
Msanii wa Bongo Fleva Nandy akiburudisha kwa wimbo wake wa kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein A...
-
Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Njombe Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt. John Jingu, amewataka...
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha ADC Mhe.Hamad Rashid Mohammed akisalimia na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanj...
-
Shamrashamra za ufungaji wa mkutano ya Kampeni wa Chama Cha Mapiduzi (CCM) za Ubunge,Uwakilishi na Udiwani Jimbo la Chumbuni Zanzibar , kwa ...
-
Jeshi la Polisi limewataka wananchi kutokuwa na hofu ya ulinzi na usalama wao siku ya uchaguzi Oktoba 29, 2025 na limewasihi wakapige kura n...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uch...
-
Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Bw. Bernard Marce...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) M...2 days ago
-
Elimu : Bajeti za Elimu Zisipuuzwe wakati wa misukosuko ya Kiuchumi na Kisiasa Duniani - Kikwete na Malala Waonya. - Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, Malala Yousafzai, wameonya juu ya mwenendo hatarishi duniani wa kupunguza au ku...2 weeks ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
-
Madawa na Maji vilivyokabidhiwa na Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Balozi Jasem Al-Najem, kwa Wizara ya Afya kwa ajili ya Kambi za K...

Sijui ni lini katibu wangu ataacha 'undumi la kuwili'
ReplyDeleteAkiwa Z'bar anahamasisha watu kufanya vurugu, akiwa Bara utamuona anacheka na wadau na kuhubiri uzalendo...Maalim bwana!
Mimi nadhani, mwisho wa maji ni tope, mimi nadhani CUF inahitaji akina Hamad Rashid wengine!
Visiwa vya Zanzibar vitaendelea kutawaliwa milele kwani sioni hata kipengele kinachoonesha namna sehemu moja inavyoweza kujitowa katika gereza hili la muungano pale ambapo sehemu moja hasa hii yetu ndogo itakpohitaji kufanya hivyo. Katika rasimu hii ni mtego wa kuhalalisha huu muungano usiokuwa wa kihalali.
ReplyDeleteWee mtoa comment wa mwanzo wacha ujinga samaki wewe, sasa ulitaka maalim afanye nini apigane au asicheke na mtu! hujui kama mtume wetu kasema smile ni sadaka, haturudi nyuma mpaka kieleweke upoo pumbaaav
ReplyDeleteKwa kweli hali ya rasimu sio nzuri sana lkn. lazma tujilaumu wenyewe kwa hili.
ReplyDeleteTulisema hapa Muungano una maslahi ya watu wengi wakiwemo mataifa makubwa hivyo MKATABA au KUUVUNJA sio rahisi, hivyo tulalamikie yale mambo ambayo
yakiondokewa yatatudaidia lk. tukashindwa.
Wakazuka akina mtoa maoni wa tatu (UWAMSHO) wakampotosha maalim ili aachane ya sera ya CUF ya miaka mingi( serikali tatu).
Matokeo yake tatu zimepatikana lakini MAMBO YA NJE lkn. seuze MAMBI YA NJE hata ule USHIRIKIANO WA KIMATAIFA ambao hapo awali haukua ktk. mambo la muungano basi hatukuupata.
@Anonymous wa tatu
ReplyDeleteHuyu itakua 'Banchincha' AKA wazee wa nkataba!
Ndio wenye tabia za kutukana watu mitandaoni.
Wakiwashiwa moto wanaanza kujificha kwenye kivuli cha dini...'oh Allah hapendi, sisi sote wwwamoja' n.k.
Hapa tunabadilishana mawazo na kukosoana kistaarabu sio kutukanana.
Hebu na tuchapeni kazi tujengeni nchi yetu. Tatizo kubwa la huyo mwalimu wenu amechaanza kampeni za urais ijapokuwa kampeni bado. Aidha, lugha ya CUF siku zote ni hiyo ya kuleta vurugu tu katika nchi, sasa huyo mwalimu wenu analazimika atumie lugha hiyo hiyo ya chama vyenginevyo ataonekana hayuko pamoja nao. Kwahivyo mwalimu wenu atalazimika tu atumie lugha ya CUF ili andelee kula. Tatizo la ndugu zetu wapemba wao wametiwa shemele na huyo mwalimu wao. Hata ukikutana na wale wanaojiita wasomi mawazo yao ni yale yale ya KiSeif. Juzi ilikuwa serikali 3, leo tayari. Sasa imekuwa nkataba. Nkataba ukija utasikia mengine! Hao ndio Wapemba! Sisi Waunguja tunawajua sio watu wakuridhika na kitu zaidi ya kifo ambacho ni lazima!
ReplyDeleteSisi wapemba tupo sawa tatu zimekubaliwa, then tutaka mengine yakae sawa
Delete