Wafanyabiasha ya Uchuuzi wa samaki aina ya Vibuwa wakiwa katika bandari ya malindi wakipanga samaki hao kwa ajili ya wateja wao, katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani samaki hutumika sana katika futari na daku, msimu ukiwa umeanza katika bandari hiyo ndoo moja ya kibua iliuzwa kwa shilingi 75000/= katika bandari hiyo.
ZOEZI LA UTOAJI CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO LAANZA RASMI MKOANI MANYARA
-
-Mifugo 400 yachanjwa na kutambuliwa Mkoani Manyara.
-Wafugaji wamshukuru Dkt. Samia kwa Ruzuku ya Chanjo za Mifugo.
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na U...
1 hour ago
Fungu la vibua linafika bei gani siku hizi?
ReplyDeleteSubhaanaAllah
ReplyDeleteTsh. 75000 elfu au elfu 7. Mbona sijafahamu.
ReplyDeleteIkiwa ni elfu Saba kwa ndoo. Basi ni kiama cha naisha kwa masikini ya Mungu.