UTHAMINI WA FIDIA MRADI WA SGR KIPANDE CHA SITA TABORA-KIGOMA WAENDELEA KWA
KASI
-
Na Munir Shemweta, WANMM
Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya
Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaen...
5 hours ago

Z'bar tulitakiwa kujikita zaidi ktk michezo 'yetu' kama vile kuogelea, kukimbia, mashairi, bao n.k.
ReplyDeleteMichezo niliyoitaja ni rahisi ktk mazingira yetu na haina gharama kubwa.
Hii iliyobaki tukajishughulisha nayo tu ili tusiachwe nyuma na wenzetu Duniani..Angalia mfano wa wenzetu INDIA na PAKISTA..wao ni 'CRICKET'...kwenda mbele!