MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
4 hours ago
Z'bar tulitakiwa kujikita zaidi ktk michezo 'yetu' kama vile kuogelea, kukimbia, mashairi, bao n.k.
ReplyDeleteMichezo niliyoitaja ni rahisi ktk mazingira yetu na haina gharama kubwa.
Hii iliyobaki tukajishughulisha nayo tu ili tusiachwe nyuma na wenzetu Duniani..Angalia mfano wa wenzetu INDIA na PAKISTA..wao ni 'CRICKET'...kwenda mbele!