Ujenzi wa mabanda ya biashara katika viwanja vya sikukuu vikiwa katika maandalizi ya ujenzi wake ili kusherehekea sikukuu ya Eid Fitry leo.Waislam Duniani kote leo husherehekea sikukuu ya Eid Fitry baada ya mfungo wa Mwezi Mtuku wa Ramadhani kumalizika jana kwa kukamilisha mfungo huo kwa kumaliza siku salathini.
ISW YAONGEZA FURSA MPYA KWA WANAOTAKA KUHUDUMIA JAMII KWA UTAALAMU
-
Na Mwandishi Wetu
Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW) ni miongoni mwa vyuo bora ambavyo vinatoa
wataalamu mbalimbali wanaoisaidia jamii kutoka katika changamot...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment