Ujenzi wa mabanda ya biashara katika viwanja vya sikukuu vikiwa katika maandalizi ya ujenzi wake ili kusherehekea sikukuu ya Eid Fitry leo.Waislam Duniani kote leo husherehekea sikukuu ya Eid Fitry baada ya mfungo wa Mwezi Mtuku wa Ramadhani kumalizika jana kwa kukamilisha mfungo huo kwa kumaliza siku salathini.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment