Ujenzi wa mabanda ya biashara katika viwanja vya sikukuu vikiwa katika maandalizi ya ujenzi wake ili kusherehekea sikukuu ya Eid Fitry leo.Waislam Duniani kote leo husherehekea sikukuu ya Eid Fitry baada ya mfungo wa Mwezi Mtuku wa Ramadhani kumalizika jana kwa kukamilisha mfungo huo kwa kumaliza siku salathini.
VETA YALETA NEEMA KWA WAFANYAKAZI MAJUMBANI
-
*Wafanyakazi 700 wapata mafunzo vyuo vya VETA
Na Mwandishi Wetu
Wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti
na Mamlaka ya E...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment