Habari za Punde

Serikali ya Zanzibar ilipotiliana saini na kampuni ya mafuta ya Shell ya Uholanzi

 Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,akitia saini na  Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mafuta ya   Shell ya uholanzi na Serikali za Afrika Mashariki Axel Knospe,(kushoto)makubaliano ya ushiriano katika sekta ya gesi na mafuta katika ukumbi wa ofisi ya kampuni hiyo Mjini Uholanzi alipokuwa katika ziara ya Kiserikali,ujumbe ulioongozwa na Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.AliMohamed Shein
 Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,akibadilishana hati ya makubaliano baada ya kutia saini na  Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mafuta ya   Shell ya uholanzi na Serikali za Afrika Mashariki Axel Knospe,(kushoto)makubaliano ya ushiriano katika sekta ya gesi na mafuta katika ukumbi wa ofisi ya kampuni hiyo Mjini Uholanzi alipokuwa katika ziara ya Kiserikali,ujumbe ulioongozwa na Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.AliMohamed Shein.[

2 comments:

  1. picha ya uwakilishi wa bendera ya zanzibar haipo kwanye picha ya shell ipo vipi

    ReplyDelete
  2. Bendera sio 'issue' Z'bar maofisi mengi yanapepea hiyo bendera lakini mambo hayaendi!

    Iko haja sasa ya kuachana na uzalendo usio na maana na kujikita ktk mamabo ya maendeleo.

    Tukumbuke Z'bar ina serikali, nembo(muhuri wa smz) baraza la wawakilishi, Bendera,wimbo wa taifa, wizara zake na hadi vitambulisho(ZID) hebu niambie ni lipi la kujivunia ktk haya?

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.