Habari za Punde

Watanzania 18 wafadhiliwa na Brazil na China kusomea mafuta na gesi

Picture
Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi (watatu kushoto) katika picha ya pamoja na baadhi ya vijana waliopata ufadhili wa masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya mafuta na gesi kutoka Serikali ya watu wa China. Pia, wanafunzi wengine 10 wamepata ufadhili wa masomo kama hayo kutoka Serikali ya Brazil. Picha imepigwa mara baada ya kumalizika kwa hafla fupi ya kuwaaga wanafunzi hao iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara hiyo uliopo jijini Dar es Salaam.

5 comments:

  1. Kuna mtanzania yeyote kati ya hawa alietokea Zanzibar?

    ReplyDelete
  2. Hapa ndipo tunapopigwa bao wazanzibari, hawa watanganyika watupu wanasomeshwa na pesa za muungano

    ReplyDelete
  3. Hawa si watanzania balini watanganyika, kama watanzania tungeona wa znz, japo wawili, mna peleka watanganyika wenzenu ikesha mna dai watanzani

    ReplyDelete
  4. Halafu anasimama mznz anasema hawa nduguzetu tena wadamu na pengine wanasomeshwa waje kusimamia mafuta ya znz

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.