Habari za Punde

Kongamano la Kimataifa la Historia ya Ustaarabu wa Kiislam Afrika Mashariki.

 Mwenyekitin wa Mkouano wa kuwasilisha Mada katika Kongamano la Kimataifa la Historia ya Utamaduni wa Ustaarabu wa Kiislam akiongoza kikao hicho wakati wa kuwasilisha mada zao katika kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Lagema Nungwi Zanzibar.
 Dkt. Mwa






2 comments:

  1. Zanzibar viongozi wa Serikali wanshangaza kweli, Wanahubiri kuuendeleza uislamu lakini waislamu wakichachamaa kuutetea uislamu na maadili yake ndio viongozi wa kidini wanapowekwa ndani kwa kutekeleza malengo ya kisiasa. Mwenyezi Muungu ni hakimu muadilifu kuliko mahakimu wote ,na kila mmmoja wenu atalipwa kwa yale aliyoyatenda hapa duniani.

    ReplyDelete
  2. Nashangaa kwanini viongozi wa kisiasa wanaendelea kualikwa ktk hafla za kidini!

    Ni vigumu kukubali lkn. ukweli unabaki kua siasa yenyewe ni Dini na ina namna yake ya kuamini.

    Ukitaka kujua hilo, angalia namna ambavyo Serikali ya MISRI ilivyokuwa ikiuwa watu waliokaa kitako ktk makambi tena mwezi wa ramadhani eti tu kwa kukaidi amri ya serikali.

    Maamuzi ya namna ile hayana 'justification' yoyote kidini isipokua adhabu ya moto lakini kisiasa yana uhalali wa kila namna!

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.