Habari za Punde

Maalim Seif alipotembelea taasisi za elimu Chake , Pemba

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa darasani pamoja na wanafunzi kusikiliza namna mwalimu anavyowasomesha wanafunzi hao wa skuli ya Sekondari ya Madungu, Chake Chake Pemba.
Maalim Seif akiangalia maktaba ya Skuli ya Fidel Castro ambayo inakabiliwa na upungufu wa vitabu, wakati wa ziara yake katika taasisi za elimu kisiwani Pemba

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akipokelewa na makamanda wa vikosi vya (14 na 151 KJ) wakati akiwasili katika kambi ya jeshi ya Ali Khamis Camp Vitongoji, kuangalia maendeleo ya skuli ya msingi iliyo chini ya Jeshi hilo


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza katika eneo la skuli ya Ali Khamis Camp Vitongoji. (picha, Salmin Said, OMKR)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.