Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar Grand Malt Chipukizi na KMKM, imeshinda 3--1

 Beki wa timu ya KMKM akiruka juu na mshambuliaji wa timu ya Chipukizi wakiwania mpira  katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Grand Malt mchezo uliofanyika uwanja wa Mao,timu ya KMKM imeshinda 3--1 
 Beki wa timu ya Chipukizi akiondoa mpira golini kwake wakati wa mchezo wa ligi Kuu uliofanyika uwanja wa Mao, timu ya KMKM imeshinda 3--0.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.