Mfanyabiashara katika makontena Vikokotoni akiondoa maji katika eneo la duka lake na kuamua kuondoa kwa kutumia mbao kuwakumba maji hayo ili kutowa nafasi kwa wateja wake wanaofika katika duka hilo kufika bila ya usombufu, kwa hivi sasa katika maeneo ya Zenj yametandwa na mvua za vuli zinazoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali za Unguja.Kama navyoonekana pichani akifanya usafi huo.
Watendaji uchaguzi watakiwa kutoa taarifa kwa vyama vya siasa
-
Na. Mwandishi wetu, Shinyanga
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji wa uchaguzi mkuu wa
mwaka 2025 kutoa taarifa mapema kwa vyama vya siasa...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment