Habari za Punde

Mambo ya Mvua Hayoo

Mfanyabiashara katika makontena Vikokotoni akiondoa maji katika eneo la duka lake na kuamua kuondoa kwa kutumia mbao kuwakumba maji hayo ili kutowa nafasi kwa wateja wake wanaofika katika duka hilo kufika bila ya usombufu, kwa hivi sasa katika maeneo ya Zenj yametandwa na mvua za vuli zinazoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali za Unguja.Kama navyoonekana pichani akifanya usafi huo. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.