Wafanyakazi wa Baraza la Manispa Zanzibar wakibishana na dereva ambaye ameegesha gari yake kando ya barabara ya darajani ambaayo hairuhusiwe kuegesha magari kutoka na kusabnabisha msongamano wa magari akibiasha nao baada ya kumfungia gari lake nyonyoro maalum, Kosa hilo hutozwa faina na ndipo kufunguliwa gari hiyo.
SERENGETI MWENYEJI MAADHIMISHO SIKU YA URITHI WA DUNIA: ELIMU YA UHIFADHI
KUTOLEWA KILA KONA
-
Na. Brigitha Kimario- Serengeti
HIFADHI ya Taifa ya Serengeti ambayo ni miongoni mwa Hifadhi zenye hadhi ya
urithi wa Dunia tangu mwaka 1981 inataraj...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment