Kuna baadhi ya wananchi huharibu kwa makusudi miundombinu ya mitaro ya maji machafu kwa kuondoa mifuniko hiyo kwa kuuza vyuma chakavu kama inavyoonekana pichani moja ya mitaro hiyo ikiwa wazi na kuwekwa mawe kukinga maafa kwa watembea kwa miguu kupata athari wakati wakitumia njia hizo wakati wa usiku.
KAMATI YA MAKATIBU WAKUU YARIDHISHWA NA UJENZI WA UWANJA MPYA WA MPIRA
JIJINI ARUSHA
-
Kamati ya Makatibu Wakuu inayoongozwa na Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri
Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, imekagua na kuridhishwa na
maende...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment