Kuna baadhi ya wananchi huharibu kwa makusudi miundombinu ya mitaro ya maji machafu kwa kuondoa mifuniko hiyo kwa kuuza vyuma chakavu kama inavyoonekana pichani moja ya mitaro hiyo ikiwa wazi na kuwekwa mawe kukinga maafa kwa watembea kwa miguu kupata athari wakati wakitumia njia hizo wakati wa usiku.
RAIS SAMIA ASHIRIKI HAFLA YA SAMIA KALAMU AWARDS 2025 JIJINI DAR ES SALAAM
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwahutubia Viongozi, Wadau wa habari pamoja na wageni mbalimbali
waliohudhuria...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment