Sir Jecha Thabit Kombo hatunae tena dunia, amefariki dunia jana usiku kwa kusumbuliwa na maridhi ya Sukari, marehemu Sir Jecha anatarajiwa kuzikwa leo katika kijiji cha Chukwani baada ya sala ya ijuma kwa mujibu wa habari tlizozipata kupitia kwa jamaa na ndugu marehemu ataondokea mwanakwerekwe na kuzikwa Chukwani
SERIKALI YAWEZESHA HUDUMA ZA POSTA KIDIJITALI KUPITIA VIFAA VYA TEHAMA
KUTOKA UCSAF
-
▪️ Postamasta Mkuu aahidi kusambaza vifaa hivyo katika mikoa yote ya Posta
nchini
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa, ame...
13 hours ago
Jamani, tupeni historia fupi ya marehemu wacheni mzaha! visiwa ya watu 1200,000 watu tunashindwa kujuana!
ReplyDeleteBinafsi yangu sikuwahi kumfahamu lkn. niliwahi kusikia kua alikua miongoni mwa mabaharia wa mwanzo wa marehemu MV MAPINDUZI.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amin!
Mungu alilaze