Meneja wa Uwanja wa Amani Zanzibar Khamis Ali Mzee, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad juu ya maendeleo ya ulazaji wa nyasi bandia katika uwanja huo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea uwanja wa Amani kukagua maendeleo ya kazi ya ulazaji wa nyasi bandia. (picha na Salmin Said, OMKR)
TANCDA Yatoa Wito wa Mabadiliko ya Maisha; Yazindua Mpango wa Kidijitali wa
Smart Health Journey
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MUUNGANO wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza Tanzania (TANCDA) umetoa wito wa
mabadiliko ya haraka ya mitindo ya maisha mi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment