Meneja wa Uwanja wa Amani Zanzibar Khamis Ali Mzee, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad juu ya maendeleo ya ulazaji wa nyasi bandia katika uwanja huo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea uwanja wa Amani kukagua maendeleo ya kazi ya ulazaji wa nyasi bandia. (picha na Salmin Said, OMKR)
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment