Habari za Punde

Uzinduzi wa Makao Makuu ya PBZ Islamic Bank Mpirani Zanzibar.


 
Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe, Ali Hassan Mwinyi, akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa PBZ Juma Amour, alipowasili katika viwanja vya jengo la Bima kufungua Makao Makuu ya PBZ Islamic Bank Zanzibar. 
Rais Mstaaf wa Tanzania Mhe, Ali Hassan Mwinyi, akisalimiana na Mjumbe wa Bondi ya PBZ ,Dkt Mohammed Hafidh, alipowasili katika viwanja vya jengo la Bima kufungua Makao Makuu ya PBZ Islamic Bank Zanzibar. 
RAIS Mstaaf wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi,akikata Utepe kuashiria kuifunga Makao Makuu ya benki ya  PBZ Ismamic Bank ilioko katika jingo la Bima  Mpirani Zanzibar, kushoto Waziri wa Fedha Zanzibar Omar Yussuf Mzee na Mkurugenzi  Mtendaji PBZ Bwa Juma Amour, ikiwa ni shamrashamra za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Rais Mstaaf wa Tanzania Alhajj Ali Hassan Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa PBZ Juma Amour, baada ya ufunguzi wa PBZ Islamic Bank.


RAIS Mstaaf wa Tanzania Mhe. Ali Hassan Mwinyi, akitia saini fomu ya kufungua akaunti katika PBZ Islamic Benki, baada ya kuifungua Ofisi yao ya Makao Makuu ya PBZ Islamic Benki katika jingo la Bima Mpirani Zanzibar




 



















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.