Habari za Punde

WAZIRI MKUU ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA DODOMA

 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt. Ibenzi Ernest (kulia kwake) alipotembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa Dodoma Novemba 25, 2025. Kushito kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule na kulia ni Mkuu wa Wilaya Dodoma Alhaji Jabir Shekimweri. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akizungumza na wananchi, alipotembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa  Dodoma,







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.