BANDARI ya malindi sehemu ya kuegeshea meli ya
Mv Sea link ikiengezwa kima cha maji kwa kuchimbwa sehemu hiyo kuwa na kima
kikubewa cha maji ili kuweza chombo kinachofunga katika eneo hilo kufunga kwa
uhakika wakati wa maji kujaa na kukupwa kwa maji.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco ahitimisha ziara yake ya
Kiserikali, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco
Chapo mar...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment