BANDARI ya malindi sehemu ya kuegeshea meli ya
Mv Sea link ikiengezwa kima cha maji kwa kuchimbwa sehemu hiyo kuwa na kima
kikubewa cha maji ili kuweza chombo kinachofunga katika eneo hilo kufunga kwa
uhakika wakati wa maji kujaa na kukupwa kwa maji.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment