Eneo la mtaa wa mchangani limebadilika sura yake kutokana na kuondolewa Wafanyabiashara wa eneo hilo waliokuwa wakipanga bidhaa zao chini kuondolewa na Mamlaka husika inayotunza Mji wa Zanzibar, Hali hii itakwisha lini kuweza kuuweka safi mtaa huu kupunguza msongamano wa Wananchi wanaotumia barabara hii kufuata mahitaji yao katika maduka yalioko katika mtaa huo, msongamano huo huzalisha vibaka wa wiza wa mifukoni na kuchana mapochi kwa kutumia viwembe
𝐌𝐬𝐚𝐣𝐢𝐥𝐢 𝐰𝐚 𝐇𝐚𝐳𝐢𝐧𝐚 𝐀𝐩𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐚 𝐔𝐞𝐧𝐝𝐞𝐬𝐡𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚
𝐒𝐡𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐥𝐚 𝐌𝐢𝐭𝐢 𝐖𝐞𝐬𝐭 𝐊𝐢𝐥𝐢𝐦𝐚𝐧𝐣𝐚𝐫𝐨
-
Kilimanjaro. Mkurugenzi Msaidizi wa Usimamizi wa Mashirika Yasiyo ya
Kibiashara kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina, Bw. Joseph Mwaisemba,
amefanya ziara y...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment