Watalii wanaotembelea katika Visiwa vya Zanzibar hupata fursa za kutembelea maeneo ya Historia na vivutio vya Utalii ndani ya Zanzibar na vitongoji vyake. Kama wanavyoonekana Watalii hawa waliofika Zanzibar wakipata historia ya Nyumba ya Marcury ilioko katika mtaa wa shangani ndani ya mji mkongwe wa Unguja.Wageni wengi wanaotembelea Zanzibar hufika katika nyumba hii ikiwa katika medali ya historia ya Zanzibar.
Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, Ikulu
Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine
Tshise...
6 minutes ago

No comments:
Post a Comment