Habari za Punde

Barabara ya Matele- Chambani yaendelea kutengenezwa


GARI aina ya Isuzu ikimwaga kifusi katika barabara ya Matele –Chambani Wilaya ya Mkoani wakati wa ujenzi wa barabara yao ambayo inajengwa kwa pamoja baina ya mfuko wa maendeleo ya Jamii Tanzania TASAF awamu ya pili na wananchi wa vijiji hivyo (picha na Haji Nassor, Pemba)

1 comment:

  1. Waoooo. I like that!!. Naamini itafikiwa kiwango cha lami. Isimwagiwe fusi mambo yakamaliza. Kuimarisha barabara za vijijini kutapelekea maendeleo makubwa jimboni Chambani. Nimekulia kijiji cha chambani. Najisikia fahari kwa hatua hii.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.