Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA Ndg. Mustafa Ali Garu,wa kwanza kulia mweye kofia akijumuika na Mafunzi wa ZAWA katika zoezi hilo la kutengeneza miundombinu ya maji kwa wananchi wa mji mkongwe.
BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na
Mustakabali wa Wanachama
-
*Dar es Salaam, Tanzania* – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania
(BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la kujadili
maende...
1 hour ago
Hongereni wana Mamlaka ya Maji, endeleeni kuchapa kazi nasi tunathamini juhudi zenu. Iko siku Zanzibar itaondokana kabisa na matatizo ya maji. Tunathamini sana juhudi, ari na utendaji wenu, tuko pamoja.
ReplyDelete