Wachinjaji mbuzi kwa ajili ya Sadaka kwa Watoto mayatima wakiendelea na Uchinjaji huko Kisauni nje ya Mji wa Zanzibar.
Wawakilishi wa Taasisi ya I,H,H,kutoka Uturuki wakigawa sadaka ya Unga,Mchele,Mafuta ya kupikia pamoja na Nyama kwa Watoto Yatima katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar.
Wawakilishi wa Taasisi ya I,H,H,kutoka Uturuki wakiendelea kugawa sadaka ya Vitu mbalimbali ikiwa pamoja na Unga wa Ngano,Mchele,Mafuta ya kupikia na Nyama kwa Watoto mayatima walio katika maeneo mbalimbali Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR
wenye elimu tuelimisheni , navyojua mimi ukichinja mnyama kwa kutumia sheria ya uhalali , haitakiwi mnyama mwengine kuona mwenzake anachinjwa au kusikia kilio cha maumivu yake, huu uchinjaji uliofanywa hapa ni sahihi? naomba maelezo
ReplyDelete