KUFUATIA
kuongezeka ka maduka ndani ya soko kuu la Chake Chake, limepelekea kuifanya
steni ya dalala kuwa ndogo na kupelekea usumbufu wa magari mbali ya abiria
kuingia na kutoka, kama inavyonekana katika picha.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)
Labels
- .
- `
- 8
- AFYA
- AFYA.
- AJALI
- BIASHARA
- BURUDANI
- DINI
- ELIMU
- FILAMU
- HABARI
- HARUSI
- HOSPITALI
- I
- JAMII
- KATUNI
- Kii
- KILIMO
- KIMATAIFA
- KITAIFA
- Ku
- MAGAZETI
- Mahkamani
- MAISHA
- MAKALA
- MAKALA AFYA.
- MAKALA.
- MATUKIO
- MATUKIO.
- MICHEZO
- MITAANI
- MIUNDOMBINU
- MSAADA
- Ok
- SIASA
- TANGAZO
- TAWA YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEKEZAJI
- TEKNOLOJIA
- UCHUMI
- UTAFITI
- UTALII
- VIDEO
- VIJANA
- WEZI
Tafsiri ya Lugha
Popular Posts
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo- Brazzaville Mhe. ...
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino ...
-
*Ashauri wawekezaji wadogo, wakati na wakubwa wote watazamwe sawa *Asisitiza sekta ya kilimo kupewa kipaumbele kwa kinaajiri wananchi we...
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili katika viwa...
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Masjid Lillah Kianga Wilaya y...
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Alhajj Hemed Suleiman Abdulla, amewakumbusha waumini wa dini ya kiislamu na wananchi wa Zanzibar kwa uju...
-
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Tabia Maulid Mwita akifunguwa Mkutano wa Wadau wa Michezo Zanzibar huko katika Ukumbi wa ...
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amsikiliza Mwakilishi wa Kampuni ya NITCO. Binu Raj, wakati ...
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema kukamilika kwa ujenzi wa diko na soko la kisasa la samaki katika eneo la ...
-
Mwenyekiti wa Baraza la Masoko ya Mitaji Tanzania (CMT), Mhe. Jaji Dkt. Ntemi Kilekamajenga, akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda ...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLOGU RAFIKI
-
-
DKT. MPANGO ATAJA MAENEO MANNE MUHIMU KWA VYOMBO VYA HABARI BARANI AFRIKA - Na Seif Mangwangi, Arusha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, amevitaka vyombo vya habari barani Afrika kuzingatia...1 hour ago
-
Afya : Waziri Mhagama: Tiba Mtandao ni Msingi wa Huduma Bora za Afya - Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, amesema kuwa kutokana na serikali kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika miundom...4 days ago
-
MAHOJIANO YA TAUSI SUEDI NA AMRI NGOYE KUHUSU CSI KUPITIA KWANZA PRODUCTION NCHINI MAREKANI - Pata habari motomoto kupitia facebook kwa kulike huu ukurasa wetu https://www.facebook.com/pages/Pamojapureblogspotcom/312633955485619?ref=hl7 years ago
Marafiki Duniani
Popular Posts
-
Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili Zanzibar majira ya mchana kwa Ndege na kuendelea na taratibu za Maziko yatafanyika katika Mtaa wa...
-
The United Republic Of Tanzania National Examination Council of Tanzania Form Four Examination Results 2017/2018 The National E...
-
Makamanda wa JWTZ wakiwa wamebeba mwili wa Marehemu Waziri Kiongozi wa Kwanza wa Zanzibar na Brigedia Jenerali Mstaaf Ramadhani Haji Faki...
-
Na Miza Kona/Rahma Khamis Maelezo-Zanzibar Jumla ya wanafunzi 16,744 wamechaguliwa kuendelea masomo ya kidatu cha tatu kati ya wanafun...
-
Bwana Harusi Lusajo Sajent Mwangambaku (kushoto), akiwa katika pozi na mke wake Neema Stanley Matowe katika hafla yake ya ndoa iliyofa...
-
Mama mjazito akihangaika na hatimaye kupoteza maisha kutokana na mimba za utotoni..Video ipo hapo chini baada ya maelezo mafupi
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA KIDATO CHA PILI, DARASA LA SITA NA DARASA LA NNE YA MWAKA 2017, JUMATATU TAREHE 29 JANUARI 2018....
-
Hutuba ya Mhe Waziri wa Afya Nd. Mahmoud Thabit Kombo kwa Waandishi wa Habari Katika Maadhimisho ya Siku ya Malaria Dunia Zanzibar, 22...
Yale yale kama ilivyo Unguja naona na Pemba nako yanakuja. No town planning. Kwani wenye kutoa ruhusa ya kufanya biashara ni nani? na wenye kumiliki eneo la Stand ya magari ni nani?? Ni taasisi moja, sasa wanachokifanya ni nini, au wanajali mapato tuu bila kuangalia consequences, kwa mtazamo si muda mrefu hilo eneo lote litakuwa ni sehemu ya maduka!! na wenye magari wataondoshwa, itakuwa kama Unguja vituo vya daladala vipo njiani, ajabu, Only in Zanzibar!!
ReplyDeleteHalaafu mimi nina wazo moja. Hizi gari aina ya "Chai magarage", kwa kweli hasa zimepitwa na wakati tena jamani, si hivyo tu bali hasa ni maudhi hasa kupanda na zikiwa zimejaa. Binafsi, nikienda Pemba basi moja ya gamu niliyonayo ni hiyo, utakuta gari imejaa watu kabisa, mizigo humohumo, wenye kuku wao, wenye bidhaa zao humohumo, hee huwa taabu kwa kweli.
Ushauri wangu hasa kwa wafanyabiashara ambao Allah amewajaalia neema ya kipato kidogo, wajaribu kufanya mabadiliko/mapinduzi katika sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo, mfano kuleta magari (mabasi) yatayokuwa na nafasi zaidikwa abiria na mizigo. Tubadilike kidogo na hili linawezekana wala sio gumu sana. Ni suala la wenye nafasi(uwezo) kujali na kulitilia maanani. Pemba itapendeza kweli, Inahitaji watu ku-sucrifice kwa ajili ya Kisiwa chetu, kama tunavyoona sasa hali miji hasa wa Chake inavyobadilika kwa majengo ya ghorofa ya kupendeza.
Inawezekana tujenge kisiwa chetu. Pemba na Zanzibar kwa ujumla.
Wassalaam